Misri imetuma msaada wa vifaa tiba na dawa kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Zambia, ili kuzisaidia nchi hizo kupambana na COVID-19.
Msemaji wa jeshi la Misri amesema ndege ya kijeshi iliyobeba vifaa tiba na dawa ilitumwa chini ya maagizo ya rais Abdel-Fattah al-Sisi wa Misri, kuzisaidia nchi hizo mbili kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |