Rais Vladimir Putin wa Russia ametangaza kuwa Russia itafanya upigaji wa kura za maoni kuhusu marekebisho ya katiba Julai mosi.
Upigaji huo wa kura za maoni ulipangwa kufanyika Aprili 22, lakini uliahirishwa kutokana na mlipuko wa COVID-19.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |