Bw. Moyo amesema serikali ya Zimbabwe jana ilimwita balozi wa Marekani Brian Nichols kufuatia kauli hiyo, na kumwarifu kuwa shutuma hizo ni za makosa na hazina msingi wowote, na zitaharibu uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Siku ya Jumapili, naibu msaidizi wa usalama wa taifa wa Marekani Robert O'Brien alisema maandamano hayo yalichochewa na nchi za nje ikiwemo Zimbabwe.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |