Palestina jana Jumanne imeihimiza Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ICC kufungua uchunguzi rasmi juu ya kitendo cha Israel cha kubomoa nyumba za wapalestina kwenye eneo la Jerusalem Mashariki.
Wizara ya mambo ya nje ya Palestina inasema mamlaka nchini Israel zinabomoa nyumba na majengo binafsi katika eneo hilo, ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa kupanua makazi ya wayahudi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |