Mashirika ya ndege ya nchi za Ulaya yanaanza kurejesha safari za ndege hatua kwa hatua, wakati nchi mbalimbali zinajaribu kufufua sekta ya utalii, ikiwa ni moja ya njia za kuokoa chumi zao zilizoathiriwa vibaya na mlipuko wa virusi vya Corona.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |