• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • EAC ndio yenye ufanisi mkubwa wa utengamano

    (GMT+08:00) 2020-06-03 18:41:51

    Jumuiya ya Afrika Mashariki imeorodheshwa bora zaidi kati ya Jumuiya nane za Uchumi za Kanda barani Afrika, huku nayo Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC ikiwa ndio yenye mafanikio machache ya utengamano.

    Ripoti ya kuorodhesha miungano ya kikanda barani Afrika ya mwaka 2019 imeonesha kuwa kuna mwingiliano wa wastani wa alama ya 0.327 kati ya 1.

    Ripoti hiyo imechapishwa na Umoja wa Afrika, Tume ya Uchumi ya Umoja wa Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika.

    Imesema Afrika bado haijaunganika ipasavyo hasa kwa uzalishaji na miundombinu, ambayo ni mambo ya msingi ya kufanikisha uunganishaji.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako