Italia imeamua kufungua usafiri kati ya kanda kuu za nchi hiyo, na kuwaruhusu watalii kutoka Umoja wa Ulaya, nchi za Schengen na Uingereza kuingia nchini bila vizuizi, kufuatia hali ya maambukizi ya virusi vya Corona kuendelea kuboreka nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |