Takwimu kutoka Shiriki la Kitaifa la Takwimu kuhusu mfumuko wa bei zinaonyesha kuwa katika mwezi wa Mei, vitunguu, nyanya na maharagwe zilirekodi ongezeko kubwa zaidi la bei kwa kilo, huku viazi, kaorti na spinachi zikipungua bei.
Bei ya kilo moja na vitunguu ilipanda kwa asilimia 21.8 mwezi uliopita ikilinganishwa na 2019. Nyanya zilipanda bei kwa asilimia 15.9 huku kilo moja ya maharagwe ikipanda bei kwa asilimia 10.9.
Kwa upande mwingine, karoti zilishuka bei kwa asilimia 22.5, spinachi kwa asilimia 16.8 na viazi kwa asilimia 10.5 ilikinganishwa na mwaka uliopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |