Dk. Mahenge alisema viwanja wa Nanenane vitaendelea kuwa kituo cha daladala, lakini kutakuwa na kituo cha daladala kwenye soko na kituo kipya cha mabasi.
Alisema baada ya kujengwa kituo maalum cha daladala, shughuli za daladala zote zitahamia huko na viwanja vya Nanenane vitabaki kwa ajili ya shughuli za wakulima na wafugaji.
Alisema maegesho ya malori yako eneo la Nala na yana uwezo wa kuegesha malori 300 yenye zaidi ya tani tatu, hivyo ifikapo tarehe hiyo yawe yamehamia kituo hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |