• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Jeshi la China latoa msaada wa kukabiliana na COVID-19 kwa majeshi ya nchi 20

    (GMT+08:00) 2020-06-05 20:51:20

    Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya China imesema, Jeshi la Ukombozi la Watu la China limetoa misaada ya vifaa vya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona kwa majeshi ya nchi 20 zikiwemo Ethiopia, Msumbiji, Tunisia, Angola, Misri, Morocco, Tanzania, Jamhuri ya Watu wa Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Guinea Ikweta, Sierra Leone, Zimbabwe, Zambia, Cameroon, Rwanda, Argentina, Laos, Cambodia, Saudi Arabia na Bengal.

    Taarifa hiyo inasema, binadamu ni jumuiya yenye hatma ya pamoja, na mshikamano na ushirikiano ni silaha yenye nguvu zaidi ya kupambana na virusi vya Corona. Jeshi la China litaendelea kuimarisha ushirikiano wa kimataifa ili kulinda usalama wa afya duniani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako