Shirika la habari la Korea Kaskazini KCNA limeripoti kuwa Korea Kaskazini itakata njia zote za mawasiliano kati yake na Korea Kusini, ikiwa ni hatua ya kwanza ya dhamira ya Korea Kaskazini ya kufunga mawasiliano yote na upande wa Korea Kusini, na kuondoa mambo yasiyo ya lazima.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |