Maonesho ya uagizaji na uuzaji wa bidhaa nje ya China ya Guangzhou (The Canton Fair) yatafanyika kuanzia tarehe 15 hadi tarehe 24 mwezi Juni kupitia mtandao, ikiwa ni mara ya kwanza kwa maonesho hayo yenye historia ya miaka 63 kufanyika kwa njia hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |