Wizara ya mambo ya nje ya Uturuki imetangaza kuwa ziara iliyopangwa ya mawaziri wa mambo ya nje na ulinzi wa Russia nchini Uturuki imeahirishwa.
Waziri wa mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov na waziri wa ulinzi wa Russia Sergey Shoygu walikuwa wamepanga kukutana na wenzao wa Uturuki kujadili masuala ya kikanda, ikiwemo suala la Libya, mjini Istanbul jana Jumapili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |