Katibu wa Shirikisho la Mashirika ya Ndege ya Iran Bw. Maqsoud Asadi Samani amesema kuna uwezekano mkubwa kwa safari za ndege za kutoka Iran kwenda Uturuki kurejeshwa Juni 20, baada ya kusitishwa kwa miezi mitatu kutokana na mlipuko wa COVID-19.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |