Serikali ya Marekani imetangaza kuiwekea Syria vikwazo vipya vinavyohusisha mashirika na watu binafsi 39, wakiwemo rais Bashar al-Assad wa Syria na mke wake.
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bw. Mike Pompeo amesema kupitia taarifa kuwa mtu yeyote anayefanya biashara na serikali ya al-Assad, popote alipo, atakabiliwa vizuizi vya usafiri na vikwazo vya kifedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |