Habari zilizotolewa na ofisi ya mawasiliano ya Bunge la Umma la China zinasema, mswada wa sheria ya usalama wa taifa mkoani Hong Kong leo umekabidhiwa kwa bunge hilo ili kujadiliwa.
Sheria hiyo imebainisha wajibu wa kijinai kwa vitendo vya kufarakanisha taifa, kupindua utawala, ugaidi, na kuharibu usalama wa taifa kwa kushirikiana na nguvu za nje.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |