Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF na Umoja wa Afrika wamezindua kampeni ya kuhimiza usajili wa watoto baada ya kuzaliwa.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa Nairobi inasema kampeni hiyo iitwayo "No Name Campaign" inalenga kuwapa watoto utambulisho wa kisheria na kuhakikisha wanapata haki na huduma za kimsingi ikiwemo afya na elimu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |