• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • WHO yatarajia hali nzuri lakini inajiandaa kwa hali mbaya katika wimbi la pili la maambukizi ya COVID-19

    (GMT+08:00) 2020-06-19 10:33:59

    Ofisi ya Shirika la Afya Duniani WHO barani Ulaya imetoa tahadhari ikeeleza kuwa ongezeko la idadi ya wagonjwa wa COVID-19 katika eneo la Ulaya Mashariki linaleta wasiwasi, ingawa idadi hiyo inazidi kupungua katika nchi nyingine za Ulaya katika wiki kadhaa zilizopita.

    Mkurugenzi wa ofisi hiyo Dkt Hans Kluge amesema katika mwezi uliopita, idadi ya nchi za Ulaya zilizokumbwa na ongezeko la wagonjwa wa virusi hivyo imeongezeka kutoka 6 hadi 21.

    Dkt Kluge amesema kuweka zuio la usafiri na kudumisha umbali wa kijamii kunasaidia, lakini hatari bado iko juu kote duniani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako