Watu 13 wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kutokea kwa maporomoko ya udongo hapo jana mjini Abidjan, Côte d'Ivoire.
Polisi nchini humo wamesema, maporomoko hayo yametokana na mvua mkubwa iliyonyesha mfululizo ambayo imeathiri kazi za uokoaji.
Mpaka sasa, watu wengi bado hawajulikani walipo na kazi za uokoaji bado zinaendelea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |