Rais mpya wa Burundi Evariste Ndayishimiye ameapishwa jana kataka sherehe iliyofanyika huko Gitega.
Baada ya kuapishwa, rais Ndayishimiye ametoa hotuba akisema atajitahidi kulinda mamlaka ya Burundi. Pia amewahimiza wakimbizi wa Burundi kurudi nchini humo na kutoa mchango kwa maendeleo ya Burundi. Aidha, amesema, Burundi itafungua mlango kwa nchi zinazotaka kufanya ushirikiano nayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |