Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu na Uhuru nchini Tunisia Marouan Jedda ametoa wito kwa serikali ya Tunisia kuwarudisha nyumbani watoto zaidi ya 146 wa nchi hiyo waliokwama katika kambi za wakimbizi nchini Syria na Libya, kufuatia maambukizi ya COVID-19 kuripotiwa katika kambi hizo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |