Mkurugenzi wa Idara ya anga ya juu ya Umoja wa Mataifa Bi. Simonetta di Dippo amesema, huu ni mnara wa kihistoria, pia ni hatua muhimu kwa mfumo wa usambazaji wa satelaiti wa dunia kutoa huduma za utambuzi wa mahali kwa nchi mbalimbali duniani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |