Meli iliyobeba watu 27 imezama katika sehemu ambayo Mto Lancang na Mto Nanban inakutana wilayani Xishuangbanna.
Hadi sasa, watu 17 wameokolewa, 9 hawajulikani walipo na mwingine mmoja amefariki. Uchunguzi unaohusika unaendelea.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |