Kampuni ya bima ya Jubilee Holdings Limited (JHL) imepata hisa za ziada ya asilimia 9.44 katika mradi a kawi wa Bujagali nchini Uganda.
Sasa hisa za Jubilee kwenye mradi huo zimefikia asilimia18.24 zenye thamani ya dola milioni 40.
Katika taarifa Jumanne, Mwenyekiti wa kampuni ya Jubilee Nizar Juma alisema uwekezaji ulioongezeka huko Bujagali ni sehemu ya mkakati wa uwekezaji wa kampuni hiyo ambao sasa unafikia dola bilioni 1.11.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |