Watu 21 wafariki baada ya basi kutumbukia ziwani mjini Anshun
(GMT+08:00) 2020-07-07 19:51:56
Watu 21 wamefariki dunia na wengine 15 wamejeruhiwa baada ya basi kutumbukia ziwani katika mji wa Anshun, uliopo katika mkoa wa Guizhou kusini magharibi mwa China.