Rais Mohammad Ashraf Ghani wa Afghanistan amesema kuwa serikali ya nchi hiyo itawaachia huru wafungwa 600 wa Taliban ili kuweka mazingira kwa ajili ya mazungumzo ya amani ya ndani ya Afghanistan yaliyoahirishwa kwa muda mrefu.
Ili kuonyesha dhamira ya kutafuta amani, serikali ya Afghanistan itakamilisha mpango wa kuwaachia huru wafungwa 5,000 wa Taliban ikiwa sehemu ya kubadilishana wafungwa wa Jeshi la Ulinzi na Usalama la Kitaifa la Afghanistan ANDSF.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |