Askari wanane wa Marekani waliopotea kwenye ajali iliyotokea kwenye mazoezi ya baharini wanaaminika kuwa wamekufa, baada ya operesheni za utafutaji na uokoaji za masaa 40 nje ya pwani ya California, kumalizika. Jeshi la Marekani limesema kazi ya sasa ni kutafuta miili ya wanajeshi hao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |