Hii inafuatia tangazo la wiki iliyopita la Waziri wa Utalii Mmamoloko Kubayi-Ngubane la kuruhusu ziara za ndani za kitalii baina ya mikoa.
Hifadhi za kitaifa za Afrika Kusini zilifungwa mnamo Machi wakati serikali ikianzisha ufungaji ili kuthibiti virusi vya COVID-19.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |