• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mkurugenzi mkuu wa WHO atarajia Marekani itafikiria tena uamuzi wake wa kujitoa kwenye Shirika hilo

    (GMT+08:00) 2020-08-07 16:43:32

    Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO Tedros Ghebreyesus amesema, kukabiliana na mlipuko endelevu wa COVID-19 kunahitaji ushirikiano na jitihada za pamoja za jumuiya ya kimataifa, na anatarajia Marekani itafikiria tena uamuzi wake wa kujitoa kwenye Shirika hilo.

    Dr. Ghebreyesus amesema, WHO inakaribisha mapendekezo ya maboresho yoyote, endapo Marekani inaona kuna masuala yanayohitaji kufanyiwa marekebisho katika Shirika hilo, na haina haja ya kutumia njia ya kujitoa.

    Dr. Ghebreyesus amesema, Marekani bado inaendelea kushiriki kwenye mikutano ya Shirika hilo na kudumisha mawasiliano, na anatarajia uhusiano kati ya pande hizo mbili urudishe kwenye hali ya kawaida.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako