Wafungwa 15 na askari 4 wameuawa katika majibizano ya risasi katika gereza moja mjini Mogadishu, Somalia.
Jeshi la Magereza limesema, wafungwa wa kundi la Al Shabaab waliwashambulia kwa risasi walinzi wa gereza na kusababisha vifo vya watu 19 na wengine 8 kujeruhiwa.
Seirkali ya Somalia imeanza kuchunguza tukio hilo hasa jinsi ya wafungwa hao walivyopata silaha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |