Serikali ya Somalia imesema itafungua tena shule za msingi na sekondari Jumamosi, ambazo zilifungwa kwa miezi minne kutokana na janga la COVID-19. Waziri wa elimu wa nchi hiyo Godah Barre amesema, serikali imeweka hatua muhimu za kuzuia maambukizi ya virusi vya Corona ikiwemo kuwataka wanafunzi wote wavae barakoa, ili kuhakikisha masomo yanaendelea vizuri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |