Tayari shirika hilo la bei nafuu limepata idhini ya kufanya safari hiyo kutoka kwa mamlaka ya kuthibiti usafiri wa anga (KCAA).
Nauli ya miji hiyo miwili itaanzia dola 89 na kutakuwa na safari Ijumaa na Jumapili.
Mkuu wa mauzo kwenye shirika hilo Titus Oboogi amesema safari kati ya miji hiyo miwili ni kuitikia mahitaji ya wateja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |