• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya Shirika la ndege la Kenya Airways kupunguza nauli ya tiketi ya ndege kwa wafanyikazi wa afya kwa asilimia 50

    (GMT+08:00) 2020-09-02 19:18:43
    Shirika la ndege la Kenya Airways imetangaza kupunguza nauli ya tikiti ya ndege ya wafanyikazi wa afya wafanyikazi wa afya nchini wanaokusudia kusafiri kwa asilimia 50.

    Ndege ya Kitaifa imesema hatua hiyo inakusudiwa kuwaheshimu wafanyikazi wa afya walio katika mstari wa mbele kupamabana na janga la Corona , ambalo hadi kufikia sasa limeua watu 572, na 19,590 wamepona.

    Katika taarifa, KQ imesema wafanyikazi wa afya watatakiwa kuonyesha Kadi yao ya kitambulisho wakati wa ununuzi wa tiketi.

    Ofa hii ni ya mwezi mmoja na ilianza jana, na wafanyikazi wa afya sasa watasafiri kwa nauli ilipunguzwa kwa asilimia 50.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako