• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • • Vyombo vya habari na wachumi wa Afrika waona China inaendelea kuongoza ufufukaji wa uchumi wa dunia 2020-10-22
    Mwelekeo mzuri wa ukuaji wa uchumi wa China katika robo ya tatu ya mwaka huu unaendelea kupongezwa na vyombo vya habari na wachumi wa Afrika.
    • EAC yapoteza dola zaidi ya bilioni 37 katika sekta ya biashara kutokana na janga la COVID-19 2020-10-06
    Ofisa Mkuu wa Baraza la Biashara la Jumuiya ya Afrika Mashariki Bwana Peter Mathuki amesema, tangu janga la virusi vya Corona lilipotokea, nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zimepoteza zaidi ya dola bilioni 37, kutokana na kukwama kwa shughuli nyingi za kibiashara .
    • Ushirikiano kati ya China na Afrika waharakisha maendeleo ya uchumi wa kidijitali barani Afrika 2020-09-25
    Wakati janga la virusi vya Corona limetoa pigo kubwa kwa uchumi wa Afrika, pia limetoa fursa ya kuharakisha maendeleo ya uchumi wa kidijitali barani humo. Teknolojia za kisasa na majukwaa yaliyoletwa na kampuni za China vimetoa uungaji mkono kwa Afrika katika kujenga mfumo wa biashara za kielektroniki na kuharakisha mageuzi ya kidijitali.
    • Kikundi cha pili cha kikosi cha 23 cha askari wa uhandisi cha kulinda amani cha China nchini DRC kurudi nyumbani 2020-09-23
    Hadi sasa China imetuma vikosi 24 vya kulinda amani vyenye wanajeshi wapatao elfu tano nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), na kutoa mchango mkubwa katika kulinda amani na utulivu wa kikanda. Wakati Sikukuu ya Taifa ya China inapokaribia, kikundi cha pili cha kikosi cha 23 cha askari wa uhandisi cha kulinda amani cha China nchini DRC kimekamilisha kazi ya kupokezana zamu na kiko tayari kurudi nyumbani China.
    • Wataalamu wa Afrika wajadili hotuba ya Rais Xi Jinping aliyotoa kwenye Mkutano wa Kuadhimiaka Miaka 75 ya UM 2020-09-22
    Rais Xi Jinping wa China jana Jumatatu alitoa hotuba muhimu kwenye Mkutano wa kilele wa Kuadhimisha Miaka 75 ya Umoja wa Mataifa. Wataalamu wa nchi mbalimbali za Afrika wakijadili hotuba ya Rais Xi, wameeleza kukubali mapendekezo aliyotoa kwenye hotuba hiyo, na kuona kuwa hotuba hiyo imeongeza imani na msukumo kwa jumuiya ya kimataifa katika kutekeleza taratibu za pande nyingi na kusukuma mbele ujenzi wa Jumuiya ya Binadamu yenye Hatma ya Pamoja.
    • Nchi za Afrika zawapima watu zaidi ya milioni 8.3 kufuatia kusambaa kwa kasi kwa janga la COVID-19 2020-07-30

    Kituo cha Kuzia na Kukinga magonjwa cha Afrika, Africa CDC, kimetoa taarifa kikisema bara la Afrika hadi sasa limewapima watu zaidi ya milioni 8.3 kufuatia kusambaa kwa kasi kwa janga la COVID-19 katika nchi hizo.

    • Huduma ya usafiri wa abiria kwa reli ya SGR ya Kenya yarejeshwa 2020-07-14
    Treni ya kwanza iliyobeba abiria 482, ilifunga safari saa mbili asubuhi ya leo kuelekea Mombasa kutoka Nairobi. Kutokana na mlipuko wa virusi vya Corona, reli ya SGR ya Kenya kati ya Mombasa na Nairobi ilisimamisha huduma kuanzia Aprili 7. Baada ya shughuli za uchumi kufunguliwa, jana reli hiyo ianza tena kutoa huduma. Kwa mujibu wa maagizo ya serikali ya Kenya, treni zinaruhusiwa kubeba abiria kwa nusu ya uwezo wake.
    • Idadi ya maambukizi ya COVID-19 barani Afrika yakaribia laki 5 2020-07-08

    Takwimu zilizotolewa na Kituo cha kukinga na kudhibiti magonjwa cha Afrika zinaonesha kuwa, hadi sasa Afrika ina maambukizi laki 4.9 ya COVID-19, idadi ya vifo ni 11,652 na wagonjwa laki 2.38 wametibiwa.

    • Juhudi za kutokomeza UKIMWI duniani zapata mafanikio, lakini hazikupata maendeleo zaidi 2020-07-07
    Ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la kupambana na UKIMWI la Umoja wa Mataifa UNAIDS, inaonyesha kuwa lengo la kutokomeza UKIMWI duniani katika mwaka 2020 halitatimizwa. Mkurugenzi wa shirika hilo Winnie Byanyima amesema, ingawa juhudi za kutokomeza UKIMWI zimepata mafanikio kadhaa, lakini bado kuna upungufu, yaani haziwezi kupanua zaidi mafanikio hayo.
    • Rais Xi Jinping atoa barua ya pongezi kwa rais mpya wa Malawi 2020-07-03

    Rais Xi Jinping wa China leo ametoa barua ya pongezi kwa rais mpya wa Malawi Lazarus Chakwera.

    • Kampuni za China nchini Jamhuri ya Watu wa Kongo zachangia juhudi za kukabiliana na COVID-19 nchini humo
     2020-07-02

    China na Jamhuri ya Watu wa Kongo zina urafiki mkubwa wa jadi. Tangu virusi vya Corona vilipuke nchini Jamhuri ya Watu wa Kongo mwezi Machi, serikali ya China imetoa misaada mbalimbali kwa nchi hiyo, wakati huohuo kampuni za China nchini humo pia zimetekeleza majukumu ya kijamii, na kushirikiana na watu wa nchi hiyo kukabiliana na maambukizi ya virusi hivyo.

    • Kampuni za China barani Afrika zaimarisha uzalishaji huku zikikabiliana na janga la COVID-19
     2020-06-30

    Hivi sasa maambukizi ya virusi vya Corona bado yanaendelea katika sehemu mbalimbali duniani zikiwemo nchi za Afrika. Kutokana na kukabiliwa na janga hilo, kampuni za China barani Afrika zimechukua hatua mbalimbali za kuhimiza uzalishaji, huku zikiimarisha hatua za kukinga virusi hivyo.

    • China yampongeza Lazarus Chakwera kwa kuchaguliwa kuwa rais wa Malawi 2020-06-29

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Zhao Lijian leo amesema, China inampongeza Bw. Lazarus Chakwera kwa kuchaguliwa kuwa rais wa Malawi, na kupenda kushirikiana na serikali mpya ya Malawi na wadau mbalimbali wa nchi hiyo kuhimiza uhusiano kati ya nchi hizo kuendelea zaidi.

    • Wakulima wa miwa wakaribisha Sheria ya Jumla ya Mazao ya 2020 2020-06-26

    Wakulima wa miwa wamekaribisha Sheria ya Jumla ya Mazao ya 2020 iliyochapishwa kwa gazeti la serikali na waziri wa Kilimo Peter Munya, akisema sheria hiyo itachangia soko huru kwa bidhaa zao.

    Shirika la Kitaifa la Wakulima wa sukari ya Kenya (KNASFO) limesema hatua hizo mpya zitawawezesha kujihusisha na kilimo cha mikataba ambacho kitawaruhusu wakulima wa miwa kushiriki kwa minada mikubwa.

    Baadhi ya wakulima wamesema hatua hiyo itafufua uzalishaji mkubwa wa mazao katika maeneo ya miwa yaliyotelekezwa na pia kupunguza mapato duni kwa sekta hiyo.

    • Rais wa zamani wa Msumbiji asisitiza kuwa China imeiunga mkono nchi hiyo ilipokabiliwa na changamoto 2020-06-25
    Leo tarehe 25 Juni ni Siku ya Maadhimisho ya miaka 45 tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kibalozi kati ya China na Msumbiji.
    • Uanachama usio wa kudumu wa Kenya kwenye UM utasaidia kutatua mizozo, mapigano na kuleta amani (Ronald Mutie) 2020-06-23

    Uanachama usio wa kudumu wa Kenya kwenye baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa unatasaidia sio tu nchi hiyo lakini bara lote kuendelea kutatua mizozo, mapigano na kuleta amani katika nchi zilizoathrika.

    • Kenya yaandikisha idadi kubwa zaidi ya visa vya Corona,260 2020-06-22

    Zimepita siku 100 tangu maambukizi ya virusi vya Corona yaliporipotiwa nchini Kenya.

    • Uzoefu wa China una thamani kubwa katika kuzisaidia nchi za Afrika kupambana na COVID-19
     2020-06-19

    Wataalam na maofisa wa afya barani Afrika wameona kuwa uzoefu ambao China umepata katika kudhibiti na kuzuia kuenea kwa virusi vya Corona una maana kubwa na kuzitia moyo nchi za Afrika katika kupambana na janga hilo.

    • Ahadi mpya ya China yaleta tumaini la maisha mapya katika mapambano ya Afrika dhidi ya virusi vya Corona
     2020-06-18

    Ahadi za China zilizotolewa kwenye mkutano maalumu wa kilele wa Mshikamano wa China na Afrika dhidi ya COVID-19 zitasaidia Afrika kupata vifaa vya matibabu katika kupambana na virusi vya Corona na kuanza mapema ujenzi wa makao makuu ya Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) utasaidia kuleta pumzi mpya katika mapambano dhidi ya virusi hivyo. Hayo yamesemwa jijini Nairobi, Kenya na mtaalam wa Ushirikiano wa Kimataifa hasusuan kuhusu uhusiano kati ya China na Afrika Cavince Adhere.

    • Kenya yapongeza China kwa kuhakikisha usalama wa wakenya dhidi ya virusi vya Corona 2020-06-18
    Kenya imeandikisha jumla ya maambukizo 3860 ya virusi vya Corona hadi kufikia sasa huku idadi ya watu waliopona na kuruhusiwa kwenda nyumbani ikiwa 1353. Taarifa hii inakuja wakati ambapo mkutano wa baraza la ushirikiano kati ya China na Afrika FOCAC ukianza rasmi hapo jana kwa njia ya video.
    1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 next
    SearchYYMMDD  
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako