Katika mwaka 2016, kampuni ya "China Wuyi" nchini Kenya ilianzisha mradi wa kutengeneza upya barabara kutoka Narok hadi Sekenani Gate, ambayo barabara hiyo ina umbali wa kilomita 82, na mradi huo utamalizika mwakani. Barabara hiyo mpya itawanufaisha wenyeji pamoja na watalii duniani.
wy
|
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |