• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Asili

    (GMT+08:00) 2018-08-22 10:47:55

    1 Mabaki ya kauri yaliyoko mashariki mwa Afrika ni ushahidi wa historia ya mawasiliano kati ya China na Afrika.

    2 Kuna hadithi kuhusu wachina kuishi na kuzaa watoto wakati wa zama za kale katika sehemu za pwani ya Afrika Mashariki

    3 Inasemekana kuwa miaka 600 iliyopita, meli ya China ilikwama katika kisiwa cha Pate, na baadhi ya wachina wakaanza kuishi huko.

    4 Bibi huyu katika kisiwa cha Pate ana jina la kichina Xi

    5 Bibi Zhen Xiaoxia alitafuta jamaa wa baba yake wanaoishi nchini Msumbiji kwa miaka 5.

    6 Bibi Chen Meilan mwenye asili ya kichina anaishi nchini Madagascar.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako