Huu ni msemo wa China unaoonesha kwamba maadili yana maana kubwa kwa taifa na jamii. Bila maadili hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana. Msemo huu unalingana na sentensi moja ya Kiswahili inayosema “maadili yetu huathiri tabia zetu”. Hivyo maadili ni muhimu.