Kilimo chenye umaalumu wa Xinjiang
ni pamoja na sekta zaidi ya
kumi zikiwemo za utengenezaji
wa pombe, vinywaji, maziwa,
vitu vya kemikali vinavyotumika
kila siku kwenye masiha ya watu,
manukato, sukari, vitu vinavyotumiwa
na wakazi wa huko na usindikaji
wa vito.