Kabila la waloba
中国国际广播电台


Waloba wengi wameenea katika sehemu ya kusini mashariki ya Mkoa unaojiendesha wa Tibet, waloba wanafanya shughuli za kilimo na kupenda kusuka vyombo vya mianzi.

Nguo za waloba wanaume na wanawake ni zenye mtindo maalum wa kabila hilo. Waloba wanapenda kula chakula cha mahindi, pia wanakula wali na chakula cha unga wa ngano.