|
|
|
|
|
VIWANDA |
|
中国国际广播电台
Hapo zamani Tibet ilikuwa na
karakana za ufundi wa jadi wa
kutengenezea mazulia, vitambaa
vya sufu, apron, viatu, bakuli
za mbao na vitu vingine vidogo
vidogo. Baada ya Tibet kukombolewa
kwa njia ya amani mwaka 1951,
hususan baada ya kufanya mageuzi
ya demokrasia mwaka 1959, vilijengwa
viwanda vingi vya uzalishaji
wa umeme, uyeyushaji madini,
uchimbaji wa makaa ya mawe,
mitambo, kemikali, vifaa vya
ujenzi, viwanda vya kazi kuhusu
misitu, viberiti, plastiki,
nguo, chakula, ngozi na karatasi.
Mwaka 2003, pato la viwanda
vya Tibet lilifikia Yuan za
Renminbi bilioni 1.8, kiasi
hiki kilichukua 15% ya jumla
ya pato la Tibet. Katika siku
za baadaye Tibet itaendeleza
kazi za viwanda, kurekebisha
muundo wa uzalishaji mali, na
kujitahidi kuendeleza matumizi
ya raslimali za aina tatu za
madini, misitu na mazao ya mifugo,
licha ya hayo itaendeleza mageuzi
ya teknolojia ya viwanda na
kuongeza pato la viwanda.
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|