Hekalu la Dazhao
中国国际广播电台

     Hekalu la Dazhao lililoko katikati ya mji wa Lhasa lilijengwa mwaka 647, lilijengwa kwa ajili ya kumkaribisha binti wa mfalme wa Enzi ya Tang, Wen Cheng kuolewa na mfalme wa Tibet. Hekalu hilo limechanganya mtindo wa Nepal na wa Kichina.