Hekalu la Zhashlumbu
中国国际广播电台

     Hekalu la Zhashlumbu ni hekalu kubwa la dini ya Buddha mkoani Tibet, lina historia miaka 500, ni kituo cha kufanya shughuli za kidini.

Hekalu hilo lilijengwa kwenye mteremko wa mlima, lina kumbi zaidi ya 50 na nyumba zaidi 200. Ukumbi wa kuwekea sanamu ya Buddha una kimo cha mita 30, sanamu hiyo ilitengenezwa kwa dhahabu na shaba nyeusi, na ilitiwa almasi na lulu zaidi ya 1400.