Fu Xi
中国国际广播电台


Kutoka na maandishi ya kale, Fu Xi alikuwa mmoja wa wafalme wa mwanzo kabisa nchini China, aliishi katika miaka 5000 iliyopita.

Fu Xi alikuwa mnajimu, alivumbua namna ya kukumbuka mambo badala ya kwa kupiga fundo la kamba.

Kamba zilikuwa ziada, basi aliwafundisha watu kufuma wavu kwa ajili ya kuvua samaki na kutega wanyama. Shen Nong aliwafundisha namna ya kupata moto kwa kupekecha, na kula chakula kwa kuchoma, hivyo watu walikuwa wameagana kabisa na maisha ya kiasili ya kula nyama mbichi.