Picha ya "Mandhari Nzuri ya Taoyuan kama ya Peponi" na Mchoraji Wake Chou Ying
Radio China Kimataifa

Chou Ying (1493-1560), alikuwa mwenyeji wa sehemu ya Taicang mkoani Jiangsu. Awali alikuwa mpaka vanishi kwenye samani, na baadaye alijifunza uchoraji picha kwa mwalimu wake Zhou Chen.

Picha hiyo ilichorwa mandhari iliyojitenga na dunia yenye ghasia na kuonesha sehemu ya maisha yenye mandhari ya milima, mito, miti na madaraja. Watu katika picha hiyo ni muhimu.