Mpiga Mshale Aliyepiga Goti
Radio China Kimataifa

       

Sanamu hiyo ina kimo cha sentimita 120, ilifukuliwa kutoka kwenye kaburi la Qinshihuang mfalme wa Enzi ya Tang mkoani Shanxi.

Hii ni sanamu ya mtu aliyefyatua mshale akiwa amepiga goti la kulia, na kuinua kifua. Ni sanamu iliyogunduliwa kati ya sanamu za askari na farasi zilizozikwa ndani ya kaburi la mfalme Qinshihuang.