Beseni la Udongo Yenye Rangi
Radio China Kimataifa


Beseni la udongo lenye rangi iligunduliwa mwaka 1973 katika wilaya ya Datung, mkoani Qinghai. Kwenye beseni hilo kuna michoro wa wasichana wanaocheza ngoma, hadi sasa beseni hilo lina historia ya miaka 5000.