Vitu vya Udongo vya Kuchezea Watoto (4)
中国国际广播电台
 

     Vitu vya udongo vya kuchezea kwa watoto katika wilaya ya Zun mkoani Henan huwa ni wanyama na ndege, hasa farasi na watu wanaosimuliwa katika hadithi za kale.

 Sanamu hizi zinazofinyangwa zina sura na rangi mbalimbali. Kutokana na kuwa watu tofauti, sanamu zao na mavazi yao pia ni tofauti.