Vyombo vya Udongo vya Kuchezea Watoto (6)
中国国际广播电台
 

      Katika historia ya China, mji mdogo wa Baizhen wilayani Xincheng ulikuwa ni kama maskani ya vyombo vya udongo vya kuchezea watoto. Sanamu nyingi zilizofinyangwa ni za watoto au watu wanaosimuliwa katika masimulizi ya kale.

Sanamu ya mpanda farasi mwenye upanga ni sanamu kwa ajili ya pambo la chumbani. Inasemekana kuwa sanamu hiyo inaweza kulinda usalama na kuondoa bahati mbaya nyumbani.

  Rangi muhimu iliyopakwa kwenye sanamu kama hiyo ni nyekundu na manjano.