中国国际广播电台
Katika mkoa wa Shandong kuna sanamu ya mtu iliyochongwa kwa mbao, ndani sanamu hiyo iko wazi.
Sanamu hiyo ni mwili wa mtu kuchongwa mikono wala miguu, ndani yake hutiwa mchanga, sanamu inapozungushwa hulialia. Sanamu hiyo hupakwa rangi za kuwavutia watoto, na inapozungushwa inalialia.
|