Miungu katika Uchoraji wa Jadi (1)
中国国际广播电台
 

   Watu wa kale wa China walikuwa wanachimba mifereji ya kulinda miji, na pia waliamini mungu wa kulinda mji. Kutokana na maandishi ya historia, hekalu la mapema lilijengwa mwaka 239.

Katika Enzi ya Ming (1368-1644) mwanzilishi wa enzi hiyo Zhu Yuanzhang aliwahi kuenzi imani ya mungu wa kulinda mji.

Pichani: Mungu wa kulinda mji ana sura ya mwenye vishungi vitano virefu vya sharafa.